UTUMIZI MBAYA WA E-PILLS NA MADHARA YAKE

Baadhi ya mashirika hapa nchini yamekuwa katika mstari wa mbele wakuhamasisha wananchi kuhusu mbinu na njia mbali mbali za kupanga uzazi.Mchakato huo wote unatarajiwa kuzuia kupatikana kwa mimba za mapema na zisizotarajiwa, hatua ambayo imechangia pakubwa utumizi wa vidonge vya kuzuia mimba za dharura almarufu E-Pills. Karibu kwa Makala haya yanayoangazia kwa kina athari za utumizi  mbaya  wa dawa za kupanga uzazi  hususan vidonge vya E- PILLS 

2356 232

Suggested Podcasts

The Ringer

Team Coco a Earwolf

Gunveet singh

Creating Life

Dr MGR Janaki College

Boycee Smile